KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, March 13, 2011

BONANZA LA WANAHABARI LILIVYOFANA DAR








Wadau kutoka vyombo mbalimbali vya habari, vikiwemo Uhuru Publications Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani na Radio Uhuru wakijiburudisha wakati wa bonanza la vyombo vya habari lililofanyika jana kwenye ufukwe wa klabu ya Cine iliyopo Msasani, Dar es Salaam. Bonanza hilo liliandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) na kudhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).




No comments:

Post a Comment