KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, June 7, 2010

Wabrazil watua Dar





KIKOSI cha timu ya soka ya taifa ya Brazil kiliwasili nchini jana usiku kwa ajili ya pambano lake la kimataifa la kirafiki dhidi ya Tanzania litakalochezwa leo. Timu hiyo iliwekewa ulinzi mkali baada ya kuwasili na waandishi wa habari na wapiga picha wa vyombo vya habari vya Tanzania hawakuruhusiwa kuwasogelea. Waliofanikiwa kuwapiga picha ni waandishi kutoka Brazil. Kivutio kikubwa katika msafara huo, alikuwa mshambuliaji Ricardo Kaka.

No comments:

Post a Comment