KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, June 10, 2010


MSHAMBULIAJI Robinho de Souza (kulia) wa Brazil akitia saini mpira wa mchezaji, Uhuru Selemani wa timu ya taifa, Taifa Stars mara baada ya kumalizika kwa pambano kati ya timu hizo lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Brazil ilishinda mabao 5-1.

No comments:

Post a Comment