KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, June 10, 2010

JK ALIPOIALIKA TWIGA STARS IKULU

RAIS Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars leo asubuhi Ikulu, Dar es Salaam. JK aliipa heshima hiyo Twiga Stars kutokana na kuweka rekodi ya kufuzu kwa mara ya kwanza kucheza fainali za Mataifa ya Afrika zinazotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu nchini Afrika Kusini. Twiga ilifuzu hatua hiyo baada ya kuitoa Ethiopia kwa jumla ya mabao 4-2 kabla ya kuibwaga Eritrea kwa jumla ya mabao 11-4.
(Picha na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment