KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, September 12, 2011

SALHA NDIYE MISS TANZANIA 2011

Warembo watano walioingia hatua ya fainali ya shindano la Miss Tanzania 2011

MREMBO wa Tanzania wa mwaka 2011, Salha Israel (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili, Tracy Sospeter (kushoto) na mshindi wa tatu, Alexia Williams (kulia) mara baada ya kutangazwa matokeo ya shindano hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.



No comments:

Post a Comment