KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, August 7, 2017

NIYONZIMA AANZA RASMI MAZOEZI SIMBA

MSHAMBULIAJI mpya wa klabu ya Simba, Haruna Niyonzima (kushoto) akizungumza na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Joseph Omog wakati wa mazoezi yaliyofanyika leo kwenye uwanja wa Bunju, ulioko nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment