KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, August 3, 2017

DIDA AANZA KUPIGA MZIGO AFRIKA KUSINI


Kipa wa zamani wa Yanga, Deogratius Munish ‘Dida’ amesajiliwa na klabu ya Chuo Kikuu cha Pretoria.

Timu hiyo maarufu kama Tuks FC inashiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Afrika Kusini.

Mara ya mwisho iliteremka daraja kutoka Ligi Kuu Afrika Kusini maarufu kama ABSA Premiership baada ya kushika nafasi ya 15 ilikuwa ni msimu wa 2015-16.

No comments:

Post a Comment