KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, January 23, 2014

WANAMUZIKI WA MLIMANI PARK WAPO KAZINI

WANAMUZIKI wa bendi ya Mlimani Park Orchestra wakiwajibika jukwaani wakati ilipofanya onyesho mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye ukumbi wa DDC Kariakoo, Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni mpiga gita la solo, Adolph Mbinga, waimbaji Hassan Bitchuka, Abdalla Hemba na Musemba wa Minyigu.(Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment