KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, October 23, 2016

MREMBO WA SINGIDA ASHINDA TAJI LA MISS TALENT 2016

MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania 2016, Hashim Lundenga (kulia) akimtangaza mshindi wa shindano la Miss Talent, lililofanyika juzi kwenye hoteli ya Jembe Beach, mjini Mwanza.
MSHINDI wa shindano la Miss Talent, Lisa Mdoro kutoka Singida, akipongezwa na washiriki wenzake baada ya kuibuka mshindi.

WASHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2016, wakionyesha umahiri wao wa kucheza muziki wakati wa shindano la Miss Talent.
LISA Mdoro kutoka Singida, akionyesha manjonjo ya kucheza ngoma za asili na hatimaye kuibuka mshindi.
WASHIRIKI wa Miss Tanzania, wakicheza muziki wa kizazi kipya
WASHINDI watano wa mwanzo wa shindano la Miss Talent.

No comments:

Post a Comment