KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, October 24, 2016

HUYU NDIYE KOCHA MPYA YANGA ATAKAYEMRITHI PLUIJM



KOCHA mpya wa Yanga kutoka Zambia, George Lwandamina, amewasili nchini kwa ajili ya mazungumzo na Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yussuf Manji.

George aliwasili nchini jana usiku na iwapo mipango itakwenda vizuri, atarithi mikoba ya Kocha wa sasa, Hans van der Pluijm.
 
Habari zaidi zimeeleza kuwa, tayari kocha huyo ameshaingia mkataba wa miaka miwili wa kuinoa Yanga na taarifa rasmi zinatarajiwa kutolewa leo.


(Picha kwa hisani ya Mwananchi)

No comments:

Post a Comment