KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, October 30, 2016

SIMBA YAZIDI KUNG'ARA


SIMBA jana ilizidi kupaa kileleni mwa ligi kuu ya soka ya Tanzania Bara baada ya kuicharaza Mwadui mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.

Katika mechi hiyo iliyokuwa na ushindani mkali, Simba ilikwenda mapumziko ikiwa mbele kwa mabao 2-0.

Simba ilipata bao la kwanza kupitia kwa Mohamed Ibrahim kabla ya Shiza Kichuya kuongeza la pili. Bao la tatu lilifungwa tena na Ibrahim.



No comments:

Post a Comment