KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, January 22, 2016

TAARIFA KUHUSU KUSIMAMISHWA KWA VIONGOZI WA TEFA



Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapenda kutoa taarifa kuhusu uamuzi Kamati ya Maadili ya Chama cha Mpira wa Miguu cha Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) wa kuwasimamisha kwa muda wa miaka miwili viongozi watatu wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Wilaya ya Temeke iliyotolewa hivi karibuni katika vyombo vya habari hususan gazeti la HabariLeo la tarehe 17 Januari 2016, ukurasa wa 30 yenye kichwa cha habari: “DRFA yatangaza kufungia viongozi wa Tefa”.

TFF ina maelezo yafuatayo kuhusu uamuzi huo wa DRFA



No comments:

Post a Comment