KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, January 29, 2016

HATIMAYE SAMATTA AMWAGA WINO KLABU YA GENK YA UBELGIJI, ATAMBULISHWA KWA WANAHABARI

Picha mbalimbali zikimwonyesha nahodha wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta akitambulishwa kwa waandishi wa habari baada ya kutia saini mkataba wa kuichezea klabu ya Genk ya Ubelgiji kwa miaka minne

No comments:

Post a Comment