KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, April 18, 2012

MSONDO KAZINI

KIONGOZI wa bendi ya muziki wa dansi ya Msondo Ngoma, Muhidin Gurumo (katikati) akiimba na waimbaji wengine wa bendi hiyo, Hassan Moshi (kushoto) na Juma Katundu wakati wa onyesho lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye viwanja vya klabu ya Sigara, Chang'ombe, Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment