KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, June 23, 2011

WASHIRIKI WA MISS MORO 2011



WASHIRIKI wa shindano la kuwania taji la Miss Morogoro wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutambulishwa kwa waandishi wa habari kwenye hoteli ya Masuka iliyopo mjini Morogoro. Shindano hilo limepangwa kufanyika Julai Mosi mwaka huu kwenye ukumbi wa hoteli ya Morogoro. (Picha na Latifah Ganzel).

No comments:

Post a Comment