KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, January 19, 2011

MZEE YUSUF ALAZWA HOSPITALI


Mwimbaji nyota wa nyimbo za muziki wa taarab na Mkurugenzi wa kikundi cha Jahazi, Mzee Yusuf amelazwa kwenye hospitali ya Dokta Bakhe iliyopo Kibaha mkoani Pwani baada ya kufanyiwa operesheni ya mguu. Habari kutoka kwa watu wa karibu na mwimbaji huyo zimeeleza kuwa, Mzee alilazwa kwenye hospitali hiyo tangu mwishoni mwa wiki iliyopita, lakini hali yake inaendelea vizuri. Pichani, Mzee akijuliwa hali na mkewe, Leila Rashid, ambaye pia ni mwimbaji wa kikundi hicho. (Picha kwa hisani ya tovuti ya Dida).

No comments:

Post a Comment