KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, January 19, 2011

HUENDI POPOTE!


Mchezaji Omega Seme (kushoto) wa Yanga akimtoka Bruno Costa (chini) wa Atletico ya Brazil wakati timu hizo zilipomenyana juzi katika mechi ya kirafiki ya kimaraifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Atletico ilishinda mabao 3-2. (Picha na Bashir Nkoromo).

No comments:

Post a Comment