KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, January 27, 2011

ASHA APATA TIMU UTURUKI


MCHEZAJI Asha Mohamed wa Mburahati Queens na timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars hivi karibuni alisajiliwa na klabu ya Atasehir Belediyespor ya Uturuki kwa ajili ya kucheza soka ya kulipwa nchini humo. Asha amesajiliwa na timu hiyo baada ya kufuzu majaribiona vipimo vya afya. Pichani, Asha akiwa katika matukio tofauti ndani ya majengo ya klabu hiyo iliyopo mjini Istanbul.

No comments:

Post a Comment