KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, January 24, 2011

OMOTOLA ATIMIZA AHADI YAKE












MCHEZA Filamu na mwanamuziki nyota wa Nigeria, Omotola Jalade hivi karibuni alitimiza ahadi ya kuwasaidia watoto yatima na wenye matatizo baada ya kutembelea nyumba ya Heart of Gold Hospices iliyopo Isolo, Lagos. Katika ziara yake hiyo ya siku mbili, Omotola alipata nafasi ya kucheza na watoto hao, kuelezwa matatizo yao na kupiga nao picha ya pamoja.


No comments:

Post a Comment