KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, February 28, 2015

JOHN DAMIANI KOMBA AMEDFARIKI DUNIA

Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM, ambaye pia ni kiongozi wa Kundi la TOT,Capt.John Damian Komba amefatiki dunia hii leo katika Hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam alikolazwa kwa matibabu.

Hakika kifo cha Komba ni pigo kubwa kwa wana Mbinga, CCMna watanzania kwa ujumla.

Komba atakumbukwa na maelfu ya watanzania kwa nyimbo zake za hamasa ndani ya Cjhama cha mapinduzi na taifa kwa ujumla.

Atakunbukwa kwa nyimbo kipindi cha uchaguzi tangu enzi ya chama kimoja na hata kipindi cha msiba wa Baba wa Taifa akivyoimba nyimbo za maombolezo.

No comments:

Post a Comment