KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, September 17, 2010

USHINDI MTAMU!

Wachezaji wa Yanga wakishangilia baada ya timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya AFC katika mechi ya ligi kuu ya Vodacom iliyochezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha.

No comments:

Post a Comment