KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, July 5, 2017

WAKILI MSEMWA AJITOA KESI YA MALINZI






WAKILI wa kujitegemea Jerome Msemwa amejitoa katika kesi Namba 213 ya 2017, inayowakabili Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Emil Malinzi, Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Joas Selestine na Mhasibu wa TFF, Nsiande Isawayo Mwanga.

Msemwa, ambaye alikuwa akiwatetea washtakiwa hao,  ameandikia barua kwa Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Wilbard Mashauri, akieleza amejitoa katika kesi hiyo kutokana na kutopata maelekezo sahihi kutoka kwa wateja wake.

No comments:

Post a Comment