KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, July 29, 2017

MSUVA ATAMBULISHWA RASMI NA KLABU YAKE YA MOROCCO



Kiungo mshambuliaji wa Tanzania Simon Msuva ametambulishwa rasmi na klabu yake mpya Difaa Hassani El Jadidi ya Morocco baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia klabu hiyo.

Msuva aliondoka nchini mwanzoni mwa wiki hii, kwenda Morocco ambako atakuwa na mtanzania mwingine Ramadhani Singano ‘Messi’, ambaye alifika Morocco mapema kuliko Msuva aliyekuwa na majukumu kwenye timu ya taifa.

No comments:

Post a Comment