KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, July 12, 2017

EVERTON YATUA NCHINI

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akisalimiana na mshambuliaji Wayne Rooney wa timu ya Everton ya England, baada ya kuwasili nchini leo asubuhi kwa ziara ya siku tatu. Everton inatarajiwa kucheza mechi moja ya kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

WACHEZAJI wa Everton wakishuka kwenye ndege iliyowaleta nchini leo asubuhi

WACHEZAJI wa Everton wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili nchini

No comments:

Post a Comment