KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, July 10, 2017

KESI YA WEMA SEPETU YAPIGWA TENA KALENDA



KESI ya kukutwa na dawa za kulevya inayomkabili mwigizaji Wema Sepetu na wenzake, imeahirishwa hadi Agosti Mosi, mwaka huu.

Kesi hiyo imeahirishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Godfrey Mwambapa, baada ya Wakili wa Serikali, Estezia Wilson, kusema hakimu anayesikiliza kesi hiyo hayupo.

Hakimu Mwambapa aliahirisha kesi hiyo hadi Agosti 1, mwaka huu, kwa ajili ya kusikilizwa.

No comments:

Post a Comment