KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, August 12, 2010




(PICHA YA JUU) Mchezaji Eto Mlenzi wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars akiwa na mchezaji wa Seattle Sounders ya Marekani mara baada ya timu hizo kupambana mwishoni mwa wiki iliyopita katika mechi ya kirafiki . Katika mechi hiyo, iliyochezwa mjini Washington, Twiga Stars ilichapwa mabao 4-2.

(PICHA YA CHINI) Kipa wa Twiga Stars, Fatuma Omary akitia saini kitabu cha mmoja wa mashabiki waliohudhuria mechi kati ya timu hiyo na Seattle Sounders.

No comments:

Post a Comment