KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, July 16, 2010

MAMBO YA SIKINDE NA UHURU




MHARIRI wa gazeti la Burudani, Rashid Zahor (kushoto) akikabidhi zawadi ya fulana yenye nembo ya magazeti ya Uhuru na Mzalendo kwa mwanadada, Kibibi Saidi aliyeibuka kuwa shabiki aliyecheza nyimbo nyingi za bendi ya Mlimani Park Orchestra wakati wa onyesho lililofanyika juzi kwenye ukumbi wa DDC Kariakoo, Dar es Salaam.



MPULIZA saxaphone wa Sikinde, Shaabani Lendi akicheza muziki na mmoja wa mashabiki wa bendi hiyo.

No comments:

Post a Comment