KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, November 18, 2010

SENDOFF PARTY YA FURAHA OMARY





MWANDISHI wa habari wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Furaha Omary jana aliagwa rasmi na ndugu, jamaa na rafiki zake katika sherehe ya Sendoff Party iliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA, Sabasaba mjini Dar es Salaam. Sherehe hiyo ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wafanyakazi wa Kampuni ya Uhuru, Publications Ltd, ambako Furaha anafanyakazi.

No comments:

Post a Comment