KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, November 24, 2010



Caption
VILIMA KWA VILIMA HAVIKUTANI, LAKINI BINADAMU HUKUTANA!
KOCHA wa makipa wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars, Juma Pondamali (kulia) akisalimiana na wachezaji wenzake wa zamani wa timu hiyo, Athumani Juma 'Chama' (kushoto) na Mohamed Mwameja (katikati) wakati wa mazishi ya mwanasoka wa zamani nchini, Juma Mkambi yaliyofanyika Jumatatu iliyopita kwenye makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment