KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, November 18, 2010

Mambo Hadharani

RAPA na mpuliza trumphet wa bendi ya muziki wa dansi ya Msondo Ngoma, Roman Mng'ande 'Romario' akiselebuka na mmoja wa wacheza shoo wapya wa bendi hiyo wakati wa onyesho lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye ukumbi wa Max Bar, Ilala, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment