KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, March 4, 2015

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU KOMBA

JENEZA lenye mwili wa marehemu John Komba likiteremshwa kaburini wakati wa mazishi yake yaliyofanyika jana kijijini kwake Lituhi, Mbinga mkoani Ruvuma
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka mchanga kwenye kaburi na marehemu Komba
Mke wa marehemu Komba, Salome Komba (kushoto) akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe
Watoto wa marehemu Komba wakiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu baba yao
Watoto wa marehemu Komba wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la maua
Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Komba
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Komba
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mwigulu Mchemba na Katibu Mwenezi, Nape Nnauye wakiweka shada la maua kaburini
Msanii Khadija Kopa akiwa na majonzi baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la Komba

No comments:

Post a Comment