KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, March 2, 2015

KIKWETE AONGOZA MAELFU YA WAOMBOLEZAJI KUUAGA MWILI WA KEPTENI KOMBA


RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Salma Kikwete wakitoa heshima mbele ya jeneza lenye mwili wa mbunge wa Mbinga Magharibi, Kepteni John Komba kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam jana
RAIS Jakaya Kikwete akimfariji mke wa marehemu Kepteni John Komba, Salome Komba wakati wa kuuaga mwili wake
MAKAMU wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal akitoa heshima mbele ya mwili wa marehemu John Komba
RAIS mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi akitoa heshima mbele ya jeneza lenye mwili wa Kepteni Komba
RAIS mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin William Mkapa akitoa heshima mbele ya jeneza lenye mwili wa Kepteni Komba
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akitoa heshima zake mbele ya mwili wa Komba
JENEZA lenye mwili wa marehemu John Komba likiwa ndani ya ukumbi wa Karimjee kabla ya waombolezaji kuanza kutoa heshima
MBUNGE wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka akibubujikwa na machozi baada ya kuuaga mwili wa marehemu John Komba
RAIS mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa akiteta jambo na Spika wa Bunge, Anne Makinda wakati wa kuuaga mwili wa marehemu John Komba

No comments:

Post a Comment