KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, July 22, 2014

STEVEN GERRARD ATANGAZA KUSTAAFU SOKA YA KIMATAIFA



Asema Beckham, Rooney na Terry walikuwa wachezaji bora aliowahi kucheza nao England.
Asema alicheza na wachezaji wenye kiwango cha juu kwenye kikosi cha England
Awataja Beckham, Rooney, Terry, Lampard na Scholes kuwa ni wachezaji aliokuwa akipenda kuchati nao kwenye chumba cha wachezaji
Nahodha huyo wa Liverpool alisema Beckham, aliyestaafu soka 2013, alimsaidia kufikia uamuzi wa kustaafu soka ya kimataifa.
Asema Kocha Roy Hodgson alimruhusu kutimiza ndoto aliyokuwa nayo tangu akiwa mdogo ya kuvaa kitambaa cha unahodha wa England
Ameuelezea uamuzi wake wa kustaafu soka ya kimataifa kuwa ulikuwa mgumu katika maisha yake kisoka
Gerrard asema kwa sasa akili yake ipo kwenye klabu ya Liverpool, kuliko kujiunga na klabu nyingine
Tayari Gerrard anayo leseni ya ukocha na sasa anapigania kupata daraja C
Ana hakika atafanya tena kazi kwenye kikosi cha England katika miaka kati ya 20 hadi 40 ijayo.




No comments:

Post a Comment