KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, May 12, 2014

DALALI AMPIGIA DEBE AVEVA


 MWENYEKITI wa zamani wa klabu ya Simba, Hassan Dalali (kulia) akipeana mkono na Aveva baada ya kumnadi kwa waandishi wa habari.
EVANS Aveva akisalimiana na mmoja wa wanachama wa klabu ya Simba kabla ya kuingia makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa Msimbazi, Dar es Salaam kwa ajili ya kuzungumza na waandishi wa habari.

No comments:

Post a Comment