KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, June 15, 2017

YANGA YAANZA KUFURU,YASAJILI BEKI KISIKI WA ZANZIBAR

Mabingwa mara tatu mfululizo wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara ‘VPL’, Yanga SC, wameanza kufuru ya usajili baada ya kunasa beki kisiki toka visiwani Zanzibar

Mlinzi mahiri wa Timu ya Taifa ya Jang’ombe ya Zanzibar, Abdallah Haji Shaibu maarufu kwa jina la “Ninja” amesaini mkataba wa miaka miwili (2) kuichezea Yanga.

No comments:

Post a Comment