KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, January 15, 2017

AZAM YAIFUNGA SIMBA 1-0 NA KUTWAA KOMBE LA MAPINDUZI





Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akimkabidhi Kombe la Mapinduzi 2017, Nahodha wa Timu ya Azam John Bocco, baada ya timu hiyo kuibuka bingwa wa kombea hilo, kufuatia kuifunga Simba bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa kwenye Uwanja wa Amaan Mjini Unguja, jana usiku

Mshambuliaji wa Azam Joseph Mahundi akiumiliki mpira, dhidi ya mchezaji wa Simba Besela Bakungu timu hizo zilipomenyana jana usiku katika mchezo wa fainali ya Mapinduzi Cup 2017,  kwenye Uwanja wa Aamaan mjini Zanzibar. Azam ilibuka kidedea baada ya kuifunga Simba 1-0.

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na wachezaji wa Simba

Dk. Shein akisalimiana na wachezaji wa Azam

Dk. Shein akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Azam

Dk. Shein akiwa katika picha ya pamoja na waamuzi waliochezesha mechi ya fainali
Dk. Shein akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Simba


 

No comments:

Post a Comment