KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, January 5, 2015

FLOYD MAYWEATHER AFANYA KUFURU, AONYESHA MALI ZAKE, IKIWEMO NDEGE BINAFSI NA MAGARI LUKUKI


BONDIA Floyd Mayweather wa Marekani amefanya kufuru baada ya kupiga picha akiwa mbele ya ndege yake  binafsi na magari manane ya thamani kubwa anayoyamiliki.

Mayweather, anayetajwa kumiliki utajiri wenye thamani ya pauni milioni 66.1, imeelezwa kuwa thamani ya magari yote manane anayoyamiliki ni pauni milioni tanio.

Mbabe huyo wa masumbwi huenda akaingiza mamilioni ya fedha iwapo atakubali kupambana na Manny Pacquiao.






No comments:

Post a Comment