KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, August 24, 2014

TANZANIA ELEVEN ILIPOMENYANA NA WAKONGWE WA REAL MADRID


Beki wa Tanzania Eleven, Salum Sued akijaribu kumdhibiti mshambuliaji wa wachezaji wakongwe wa Real Madrid ya Hispania, De La Red
 Manahodha wa Tanzania Eleven, Mohamed Mwameja na wa Real Madrid, Andress Sabido wakipiga kura kabla ya kuanza mchezo huo
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara akitambulishwa kwa mmoja wa wachezaji wa Tanzania Eleven.
Rais Jakaya Kikwete akipunga mkono kwa mashabiki waliofika kushuhudia pambano kati ya Tanzania Eleven na wachezaji wakongwe wa Real Madrid.
 Kikosi cha wachezaji wakongwe wa klabu ya Real Madrid ya Hispania

Kikosi cha wachezaji wa zamani wa timu ya Tanzania Eleven
Nahodha wa Tanzania Eleven, Mohamed Mwameja akisalimiana na mwenzake wa Real Madrid, Andress Sabido. Katika mechi hiyo, Real Madrid ilishinda mabao 3-1.

No comments:

Post a Comment