KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, August 14, 2014

ELIZABETH NDIYE MISS KANDA YA MASHARIKI 2014


Mshindi wa Taji la Redd’s Miss Kanda ya Mashariki 2014, Elizabeth Tarimo (18) ambaye pia ni Miss Lindi, akiwa mwenye uso wa furaha na tabasamu la ushindi sambamba na mshindi wa pili, Nidah Katunzi (19) ( kulia), ambaye ni Miss Mtwara pamoja na wa tatu, Lucy Julius Diyu (21), Miss Morogoro baada ya kutangazwa kuwa washindi kwenye nafasi hizo wakati wa kinya’ganyiro cha
kuwania taji hilo kilichofanyika juzi usiku kwenye ukumbi wa Hoteli ya Nashera ya mjini Morogoro.

No comments:

Post a Comment