KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, August 26, 2014

JK AMPA ZAWADI LUIS FIGO


 
RAIS Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi ya kinyago mchezaji veterani wa timu ya Real Madrid ya Hispania, Luis Figo wakati wa hafla ya chakula cha jioni aliyowaandalia wachezaji wa timu hiyo na timu ya maveterani ya Taifa Stars Ikulu jijini Dar es Salaam juzi usiku baada ya mechi ya kirafiki ambapo Real Madrid illifungaTaifa Stars 3-1 katika Uwanja wa Taifa.  (Picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment