KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, August 27, 2011

SAMAHANI NILIKUWA MJENGONI

Mmiliki wa blogu hii, wa pili kulia akituma habari za mwisho mwisho za Bunge mara baada ya kuahirishwa jana mjini Dodoma.


Kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu, sikuweza kupost chochote kwenye blogu yangu katika kipindi cha wiki mbili zilizopita kwa sababu nilikuwa mjengoni Dodoma kuripoti habari za Bunge kwa ajili ya gazeti ninalolifanyiakazi. Nimerejea leo na mambo sasa yatakuwa mswano na kama kazi. Niwieni radhi, hasa wasomaji wangu mliopo majuu.

No comments:

Post a Comment