Mmiliki wa blogu hii, wa pili kulia akituma habari za mwisho mwisho za Bunge mara baada ya kuahirishwa jana mjini Dodoma.
Kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu, sikuweza kupost chochote kwenye blogu yangu katika kipindi cha wiki mbili zilizopita kwa sababu nilikuwa mjengoni Dodoma kuripoti habari za Bunge kwa ajili ya gazeti ninalolifanyiakazi. Nimerejea leo na mambo sasa yatakuwa mswano na kama kazi. Niwieni radhi, hasa wasomaji wangu mliopo majuu.
No comments:
Post a Comment