KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, August 9, 2011

SHINDANO LA TOP MODEL LAFANYIKA

Washiriki wa shindano la kumsaka Top Model wakifuatilia kwa makini shindano hilo kwenye hoteli ya Giraffe mjini Dar es Salaam juzi.

Warembo watano kati ya 30 wanaowania taji la Vodacom Miss Tanzania 2011, ambao wamefanikiwa kuingia fainali za kusaka taji la Top Model wakiwa wamejipanga mbele ya majaji baada ya kufanikiwa kuingia katika hatua hiyo usiku wa Agosti 9,2011 katika Hotel ya Giraffe Ocean View jijini Dar es Salaam. Mshindi wa taji la Top Model atajinyakulia tiketi ya moja kwa moja ya kuingia nusu fainali ya Vodacom Miss Tanzania 2011.






No comments:

Post a Comment