KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, March 16, 2017

BREAKING NEWWWWSSSSS, AHMAD WA MADAGASCAR ACHAGULIWA KUWA RAIS MPYA CAF


SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limemchagua Ahmad Ahmad kutoka Madagascar, kuwa rais wake mpya, baada ya kumbwaga Rais wa zamani, Issa Hayatou.

Katika uchaguzi huo uliofanyika leo mjini Addis Ababa, Ethiopia, Ahmad aliibuka mshindi kwa kupata kura 34 dhidi ya 20 alizopata Hayatou.

Hayatou anaondoka madarakani baada ya kuliongoza shirikisho hilo kwa miaka 27. Aliingia madarakani mwaka 1988 na ndiye Rais wa  CAF aliyetawala muda mrefu zaidi, akifuatiwa na Yidnekatchew Tessema wa Ethopia, aliyetawala kwa miaka 15.

No comments:

Post a Comment