KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, July 21, 2011

Ngasa aichachafya Man Utd

Mrisho Ngasa akipiga chini kwa hasira baada ya kukosa bao wakati alipoichezea Seattle Sounders ya Marekani katika mechi ya kirafiki dhidi ya Manchester United ya England

Mrisho Ngasa (kulia) akiwania mpira sambamba na beki Rio Ferdinand wa Manchester United

Mshambuliaji Mrisho Ngasa (kushoto) wa Seattle Sounders ya Marekani akichuana na beki Fabio Da Silva wa Manchester United ya England katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa jana mjini Seattle. Ngasa aliichezea Seattle Sounders kwa majaribio. Katika mechi hiyo, Manchester United iliibuka na ushindi wa mabao 7-0.

No comments:

Post a Comment