KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, July 26, 2011

BLOGU YA LIWAZO ZITO YAPATA TUZO




Wapenzi wasomaji wa blogu hii ya Liwazozito, napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wale wote walioipendekeza ishiriki kwenye shindano la blogu bora za Bongo. Blogu hii ilishirikishwa katika vipengele vya Best Informative Sports na Best Enterpreneur. Japokuwa haikushinda tuzo yoyote kati ya tuzo hizo mbili, lakini imetunukiwa vyeti viwili vya ushiriki. Kwangu, kushinda tuzo ni jambo lingine, lakini kupendekezwa na wasomaji ishiriki kwenye tuzo hizo ni heshima kubwa. Nawashukuru waandaaji wa tuzo hizo na natumaini wataendelea kuziboresha zaidi ili kuondoa kasoro zilizojitokeza mwaka huu.


No comments:

Post a Comment