KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, July 28, 2011

MAMBO YA MSONDO TUACHIE WENYEWE!




REPA wa bendi ya muziki wa dansi ya Msondo Ngoma, Roman Mng’ande ‘Romario’ (kushoto) akitibwirika stejini sanjari na mcheza shoo wa bendi hiyo, Mama Vanesa katika onyesho lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye ukumbi wa DDC Kariakoo, Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment