KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, February 13, 2017

TAMASHA LA BUSARA LAFANA ZANZIBAR

Vijana wa Rico & the band ya zanzibar wakitumbuiza siku ya pili ya Tamasha la sauti za Busara kwenye ukumbi wa Ngomekongwe mjini Zanzibar jana.

Msanii Mirza wa Rico & the band ya zanzibar akichekecha muziki kwenye ukumbi wa Ngomekongwe jana.
Wanamuziki wa bendi ya Loryzine kutoka Reunion wakicheza kwenye jukwaa mbele ya mashabiki kwenye ukumbi wa Ngomekongwe mjini Zanzibar jana.
Wapenzi wa muziki wakiwashangilia vijana wa Loryzine jana usiku.

No comments:

Post a Comment