KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, May 24, 2016

YANGA YAPANGWA KUNDI MOJA NA TP MAZEMBE




YANGA SC imepangwa kundi la A katika michuano ya soka ya Kombe la Shirikisho Afrika, ikiwa na timu za
TP Mazembe ya DRC, MO Bejaia ya Algeria na Medeama ya Ghana.

Kwa mujibu wa ratiba ya michuano hiyo hatua ya makundi, iliyopangwa leo na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kundi B linaundwa na timu za Kaskazini mwa Afrika, ambazo ni mabingwa watetezi, Etoile du Sahel ya Tunisia, Ahly Tripoli ya Libya, FUS Rabat na Kawkab zote za Morocco.
 

No comments:

Post a Comment