KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, October 3, 2015

KILIMANJARO STARS KUCHEZA KOMBE LA CHALENJI



Timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) imedhibitisha kushiriki michuano ya timu za Taifa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA Chalenjji) itakayofanyika nchini Ethiopia kuanzia Novemba 21 – 06 Disemba, 2015.

Michuano ya CECAFA Chalenji ndio michuano mikongwe zaidi barani Afrika ambapo jumla ya nchi 12 wanachama hushirki michuano hiyo iliyofanyika mara ya mwisho mwaka juzi nchini Kenya na wenyeji kutwaa Ubingwa huo.

Nchi wanachama wa CECAFA ni Tanzania Bara, Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda, Ethiopia, Eritrea, Djibouti, Somali, Sudan, Sudan Kusini na Zanzibar.

No comments:

Post a Comment