KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, November 25, 2016

MREMBO WA TANZANIA AKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA, KWENDA MAREKANI KESHO KUWANIA TAJI LA DUNIA




Mlezi wa Kamati ya Miss Tanzania  ambaye pia Balozi wa Heshima wa Botswana nchini Tanzania, Bw. Emanuel Ole Naiko akimkabidhi bendera Diana Edward Lukumai Miss Tanzania 2016 anayeondoka nchini kesho kuelekea nchini Marekani kwa ajili ya Shindano la Miss Word linalotarajiwa kufanyika nchini humo, Katikati ni Hashim Lundenga Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hafla hiyo imefanyika leo kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es salaam.
Diana Edward Lukumai Miss Tanzania 2016 akizungumza mbele ya waandishi wa habari leo kwenye hoteli ya New Africa Jijini Dar es salaam wakati alipokabidhiwa bendera ya Taifa kwa ajili ya safari yake ya Marekani atakakoshiriki shindano la dunia la Miss Word, Kulia ni Mkuu wa Itifaki Miss Tanzania Bw. Albert Makoye na katikati ni Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania Bw. Hashim Lundenga.

No comments:

Post a Comment